MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 24 September 2015

KIFO CHA WAZIRI CELINA KOMBANI SOMA HAPA

Taarifa zilizoufikia mtandao huu zinasema kuwa mh. Kombani aliyekuwa waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi wa umma, amefariki huko India ambapo taarifa zaidi zitatolewa na mamlaka kuhusu tatizo lililomsibu.

Bi.Celina Kombani, alikuwa Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo LA Ulanga mashariki mkoani Morogoro, na alikuwa akigombea tena nafasi hiyo.
Na Mwanaharakati.

No comments: