MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 25 September 2015

WATANZANIA KADHAA WAMEPOTEZA MAISHA KWENYE HIJA

Taarifa kutokwa kwa.  Shekh Khalid Mohamed Mrisho akiwa huko Mina inasema kuwa watanzania 6 kutoka Tanzania wamefariki katika hija hiyo ilhali wengine kadhaa wamejeruhiwa wanaendelea na matibabu.

Ameeleza kuwa waliopoteza maisha watazikwa hukohuko pamoja na wengine zaidi ya 700, huku akisema mamlaka zitafanya taratibu za kuwafahamisha wafiwa.
Na Mwanaharakati.

No comments: