MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 20 September 2015

TAARIFA YA MGOMBEA WA CCM ALIYEKUFA KWA AJALI KAGERA

Taarifa za awali zinasemakuwa amepata ajali ya pikipiki mchana wa leo akiwa katika shughuli zake za kila siku.

Ni mgombea udiwani Muleba mjini kupitia tiketi ya CCM ambaye hatahivyo kabla ya umauti alihutubia wananchi katika mkutano wa kampeini mjini Muleba.

Taarifa zaidiitakujia hapa.
Na Mwanaharakati.

No comments: