Taarifa zilizotufikia sasa, zinasema kuwa Bakwata
katika mkutano wake uliofanyika mjini Dodoma, wamepiga kura na kumchagua kwa kura 310
Sheikh Abubakary Zubeiry kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania.
Imetajwa kuwa wagombea watatu ambao utawajua baadae walijitoa, ambapo mufti huyu mpya anachukua nafasi ya Sheikh Issa Shabaan Simba aliyefariki tarehe 15 mwezi wa sita 2015.
Imetajwa kuwa wagombea watatu ambao utawajua baadae walijitoa, ambapo mufti huyu mpya anachukua nafasi ya Sheikh Issa Shabaan Simba aliyefariki tarehe 15 mwezi wa sita 2015.
CHANZO jamiiforums.
No comments:
Post a Comment