MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 29 October 2015

CV YA DR. MAGUFULI RAIS WA AWAMU YA TANO TANZANIA

Dk. John Pombe Joseph Magufuli, alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato – wakati huo ikiwa Mkoa wa Kagera (sasa Mkoa wa Geita).
Ana Shahada ya Uzamivu ya Kemia (2006 – 2009) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwaka 1991 – 1994, alisoma Shahada ya Uzamili (Kemia) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na baadaye Chuo Kikuu cha Salfordnchini Uingereza.
Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanzaya Elimu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.
Mwaka 1981 – 1982, alisoma diploma katika Chuo cha Mkwawa akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.
Mwaka 1979 – 1981, alipata elimu ya juu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Mkwawa, Iringa.
Mwaka 1977 – 1978, alisoma elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Lake, Mwanza.
Mwaka 1975 – 1977, alisoma Shule ya Msingi Katoke, Biharamulo mkoani Kagera.
Mwaka 1967 – 1974, alisoma Shule ya Msingi, Chato.
Mafunzo
Machi 1984 – Juni 1984 alihudhuria mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mpwapwa mkoani Dodoma.
Januari 1984 – Machi 1984 alikuwa JKT Makuyuni, Arusha.
Julai 1983 – Desemba 1983 alikuwa JKT Makutupora, Dodoma.
Uzoefu wa kazi
Mwaka 2010 – hadi sasa: Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Chato.
Mwaka 2008 – 2010: Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Samaki; Mbunge wa Biharamulo Mashariki (Chato).
Mwaka 2005 – 2008: Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; na Mbunge wa Biharamulo Mashariki (Chato)
Mwaka 2000 – 2005: Waziri wa Ujenzi, na Mbunge wa Biharamulo Mashariki.
Mwaka 1995 – 2000: Naibu Waziri wa Ujenzi; na Mbunge wa Biharamulo Mashariki.
Mwaka 1989 – 1995: Mkemia Chama cha Ushirika cha Nyanza Cooperative Union (Ltd.), Mwanza.
Mwaka 1982 – 1983: Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema (akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati).
Dk. Magufuli amepata tuzo mbalimbali za ndani na nje ya nchi.
Ameshiriki na kuongoza mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa.
Ameandika vitabu na majarida mbalimbali. Ameoa na ana watoto kadhaa.

GENERAL
Salutation Hon. Member picture
First Name: Dr. John
Middle Name: Pombe Joseph
Last Name: Magufuli
Member Type: Elected Member
Constituent: Chato
Political Party: Chama Cha Mapinduzi
Office Location: P.O. Box 9144, Dar es Salaam
Office Phone: +255 713 322 272/+255 754 292 580 Office Fax: + 255 222124505
Office E-mail: jmagufuli@parliament.go.tz
Member Status: Active
Date of Birth 29 October 1959
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Chato Primary School CPEE 1967 1984 Primary School
Katoke Seminary Biharamulo, Kagera CSEE 1975 1977 Secondary School
Mkwawa High School ACSEE 1979 1981 Secondary School
Lake Secondary School ¿ Mwanza CSEE 1977 1978 Secondary School
Mkwawa College of Education Diploma in Education (Sc.) Chem., Maths&Edu. 1981 1982 Diploma
University of Dar es Salaam B.Sc Ed. (Hons) Chem.&Maths 1985 1988 Bachelor
Universities of Dar es Salaam, TZ &Salford -U.K. MSc. (Chem) 1991 1994 Masters Degree
University of Dar es Salaam. PhD (Chem) 2006 2009 PhD
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From To
UN-HABITAT Co-chair World Urban Forum (III) 2006 To Date
Ministry of Lands and Human Settlements Minister 2005 2/8/2008
World Road Congress (PIARC) 1st Delegate 2000 2005
Mtwara Development Corridor Member 2000 2005
Ministry of Works Minister 2000 2005
Ministry of Works Deputy Minister 1995 2000
Tanzania Chemical Society Member 1993 Todate
Nyanza Co-operative Union(NCU) Ltd.- Mwanza. Industrial Chemist 1989 1995
Sengerema Secondary School Teacher(Chemistry and Mathematics) 1982 1983
Ministry of Livestock and Fisheries Development Minister 13/02/2008 To Date
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi - CCM( Biharamulo East) Member of Parliament of Tanzania 1995 Todate
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member 1977 Todate












Na Mwanaharakati.

No comments: