MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 29 October 2015

MWENYEKITIKI WA NEC AKITANGAZA MATOKEO YA URAIS 2015

Matokeo yametangazwa katika ukumbi wa mwalimu Nyerere katika kituo maalumu cha NEC huku vyama 6 vikisaini kati ya 8 vilivyokuwa kwenye kinyag'anyiro, ambapo mwakili wa CHADEMA  hakuudhulia, na mwakilishi wa CHAUMA amekataa kusaini jambo ambalo mwenyekiti Jaj mstaafu Damian Lubuva anasema sheria inaruhusu kutangaza matokeo na hana lazima chama kusaini au kutosaini.
Na Mwanaharakati.

No comments: