MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 29 October 2015

HALI YA EDWARD LOWASA BAADA YA MAGUFULI KUSHINDA URAIS

Muda mfupi baada ya kutangazwa matokeo ya urais kuonesha kuwa Dr John Magufuli  amemshinda  Lowasa kwa zaidi ya 18%, taarifa inayoonekana kwenye mitandao kijamii ikionesha kutolewa na aliyekuwa mgombea urais kupitia UKAWA, inasema tumewasilisha malalamiko juu ya mchakato ulivyokwenda katika uchaguzi mkuuu.

Sheria inasema kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akishatangaza mshindi katika nafasi ya rais hairuhusiwi kufungua kesi mahakamani.

Na Mwanaharakati.

No comments: