MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 13 November 2015

ANNA MAKINDA ATANGAZA KUTOGOMBEA USPIKA-UJUMBE MZITO UKOHAPA

In baada ya uvumi wa muda mrefu kuhusu spika anayemaliza muda wake kuwa anagombea nafasi hiyo akiwa nje ya ubunge, amezungumza na waandishi habari kuwa hatagombea na kutaja sababu kuu mbili.

1. Nimekaa sana uongizini kwa miaka40 sasa.
2. Ni vema kumuacha rais wetu mpya akatengeneza safu mpya nasie tukiwa kama washauri.

Mh. Makinda amesisitiza kuwa ili serikali ifanye kazi yake vizuri, ni vema jamii ikaacha maneno ya ushabiki wa kisiasa.

Picha na habari zaidi vinafuata.

Na Mwanaharakati.

No comments: