MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 9 November 2015

RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA MUHIMBILI. UONGOZI KUSIMAMISHWA

Maamuzi mengine ya rais huyo nikumsimamisha na kumuamishia wizarani kaimu mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo.

Rais Magufuli ametoa uamuzi huo muda mfupi baada ya kutembelea hospitalini hapo na kukuta baadhi ya vifaa havifanyi kazi, ilhali baadhi ya kina mama wagonjwa wakiwa wamelala chini.

Maamuzi hayo yameanza maramoja baada ya taarifa hiyo kutolewa na balozi Ombeni Sefue katibu mkuu kiongozi.
Na Mwanaharakati.

No comments: