MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 11 December 2015

SOMA VYAMA VILIVYOFUTWA NA SERIKALI BAADA YA KUKIUKA TARATIBU

Msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi Bw Izack John Nantanga, amesema kuwa vyama 1268 vimefutwa, huku vingine 1406 vikipewa taarifa ya kufutwa wakati wowote.

Miongoni mwa vyama hivyo vilivyofutwa ni pamoja na vya taasisi za kidini, wazee Tanzania, umoja wa wapiga picha na vilabu vya habari (press clubs) vimepewa siku 21 pamoja na vingine kufutwa muda wowote.

Amesema makosa ni ukiukwaji wa sheria kwa kutowasilisha hesabu baada ya kukaguliwa, kujisajili serikalin badala ya NGOs, pamoja na kutolipa ada elekezi.
Na Mwanaharakati.

No comments: