MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 3 October 2011


MAONESHO YA WIKI YA USALAMA BARABARANI YAMEANZA KATIKA VIWANJA VYA GYMKANA MANISPAA YA BUKOBA 02/10/2011.
Kubwa nilililoshuhudia pale ni kwamba mabanda yamemuonesha na kuelezea mawili matatu lakini pamoja na hiyo vifaa mbalimbali vya usalama vimeoneshwa pamoja na vya kuzimia moto, maelezo ya matumizi sahihi ya barabara ni vitu vinayoelezwa sit u kwa mgeni rasmi bali wale wote wenye kutembelea maadhimisho hayo  wanafundishwa.
=kwanza tuwashukuru usalama barabarani mkoani kagera kama utakumbuka alhamisi tulifanya kipindi tukazungumzia mambo mengi kuhusu alama za barabarani kwakweli nimeona wamejitahidi japo ni kazi zao ila wameweka alama hizo.
=jambo linguine ambalo limejitokeza ni pale kwenye viwanja vya GYMKANA huwa kuna dampo la takataka, dampo hilo siku nyingi limejaa takataka lakini leo dakika chache kabla yta kuwasili mgeni rasmi niemona gari ambayo naweza kusema kuwa ni ya almashauri yenye nambari STK 1113 aina ya ISUZU INJECTION ikizoa uchafu.
=Jmbo lingine watanzania tunashindwa kuchangamkia fursa alafu tunalalamika kuwa hatujaambiwa kampuni ya skania imeskia uwepo wa maadhimisho ikaamua kufika katika maonesho na vifaa mbalimbali, nimezungumza na meneja wa scania Tanzania ltd badaye kidogo mtamskia.

No comments: