MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 9 December 2011

Mkuu wa mkoa (kushoto)aliongoza safu ya vingozi kufungua burdani ya muziki, nyuma yake ni Meya manispaa Anatoli Aman,katikati ni kamanda jeshi la polisi Enry Salewi, kulia Mkurugenzi manispaa Hamis Kaputa.
 Kanal masawe akiwalisha keki waliozaliwa tarehe 9 Desemba 1961.
 Keki ilikatwa kwa mbwembwe na mkuu wa mkoa.
 Kiongozi wa kidini KKKT.
 Askofu Mkuu msaidizi jimbo la Bukoba Methodius Kilaini.
 Shekh wa wilaya ya Bukoba Aruna Kichwabuta.
 Fabiani Masawe akikomelea katika hotuba kwa wananchi.
 Hii ndiyo Sura ya maadhimisho hayo.

No comments: