MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 15 March 2012


MKOA WA KAGERA KUANDAA MKUTANO WA KISWAHILI NA USHAHIRI KITAIFA;

Mkoa wa Kagera umeteuliwa kuwa mwandaaji wa mkutano mkuu wa Usanifu wa Kiswahili na ushahiri Tanzania utakao-anza mwishoni mwa mwezi huu.

Taarifa iliyotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa kagera, imesema kuwa mkutano huo unatarajiwa kuudhuriwa na wajumbe zaidi ya 80 kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini.

Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali FABIAN INYASI MASSAWE, ametumia fursa hiyo kuwaalika  wananchi, wadau, taasisi na makampuni mbalimbali kuhudhuria harambee itakayofanyika kesho asubuhi katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa.

Hata hivyo, kanali MASSAWE amesema wakti wa mkutano huo litafanyika kongamano litakalojadili changamoto litakalojadili changamoto zinazoikali lugha ya Kiswahili hapa nchini.

Mkuu wa mkoa amesema kuwa Kongamano hilo litaongozwa na mabingwa wa lugha ya Kiswahili kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam.

No comments: