MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 3 May 2012

SIKU YA UHURU WA HABARI DUNIANI;-

 Mkoani Kagera waandishi siku hii imewakuta kwenye mafunzo ya kuandaa na kutafuta habari za uchokonozi kuhusu Rushwa.
Katika siku hii Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon, amekemea vitendo vya mauaji ya waandishi wa Habari, lakini pia nchini Sudan mashaka kwa waandishi Habari yako juu kuhusu maisha yao. Kwanini tusipige kelele kuhusu jambo hilo? waandishi amka sasa.

No comments: