MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 20 May 2012

WACHAWI WAWILI WANASWA LIVE MWANZA

 
Wao wanasema kuwa walipewa amri na wakuu wao (ambapo hawakuwataja jina) kuwachukuwa watu watatu wa kanisa hilo kwa mazingira ya kichawi ili wawauwe kwaajili ya kafara na mazindiko.
Kwa mujibu wa wataalamu wa imani za kichawi mwanamke alisafiri kwa kutumia ungo na mwanaume akatumia mkuki na pembe.

Hakuna kesi inayowakabili watu hao kwani kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna kipengele kinacho utambua uchawi.
Mchungaji wa kanisa la Ufunua Diana Bandele (kushoto) na Abigaili Zumaridi ambaye ni nabii wa kanisa hilo ambao waliwakuta wachawi hao kanisani mwao majira ya saa 12 kwani muda huo ni ada kwa wao kujitakasa kwaajili ya kuianza siku ya ibada. 

PICHA ZOTE NI KWA HISANI YA ALBERT SENGO MZA.

No comments: