MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 17 July 2012

UWANJA WA NANENANE BUKOBA HAUNA HUDUMA YA UMEME DAKIKA ZA MWISHO

Pamoja na jitihada za kuhitaji kupata maendeleo kupitia wajasriamali hasa kwenye maonesho ya 88yanayotarajiwa kufanyika hivi karibuni, wajasriamali hao wamelalamikia kukosekana kwa huduma ya umeme katika uwanja huo hivyo kuomba uongozi wa mkoa uweke nguvu katika hilo.

 Pamoja na hiyo wataalam wanashauri kuwa watu kuhifadhi mafuta ya petrol kwenye makundi ya watu kuwa ni kosa na ni hatari kwa maisha ya watu.

Picha ya kwanza ni mahojiano yangu na mtendaji wa Kata husika ambaye amejitahidi kufanya mawasiliano na TANESCO lakini anashangaa kuona inachkuwa muda mrefu bila kpatiwa huduma hiyo.




No comments: