
Tazama chakula hiki kwa makini jamani.
Wanaotafuta maisha kupitia afya za watu kuweni makini mtatuua na wasimamizi wa masuala ya afya na usafi pitieni kwenye vibanda hivyo na muweke masharti stahiki.
Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
No comments:
Post a Comment