MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 29 August 2012

MAFUNZO YA MAADILI KWA WAANDISHI HABARI KAGERA YAFUNGWA RASMI

 Hata hivyo waandishi wenyewe, wamefrahia mafunzo hayo kwani yamewajengea uwezo katika kutambua uhuru wa habari, jinsi ya kushirikiana kati ya mmiliki, mwandishi mwenyewe na wananchi ambao ndiyo waajiri wakuu kwani ndiyo wanaoandikiwa na kutangaziwa habari.
 Wkati huo huo waandishi wamekubali kuliunga mkono azimio la Dar es salaam, ambalo limeahinisha masuala mbalimbali kuhusu utendaji wa kazi kwa wahariri na waandishi wa kawaida.
 Mafunzo hayo ya siku tatu yalifunguliwa rasmi tarehe 27 na kuhitimishwa 29 Agost 2012 katika ukumbi wa ELCT Bukoba Hotel, chini ni picha ya pamoja kati ya washiriki na wawezeshaji wao, Deodatus Mfugale na Chris Rweyemamu kutoka MCT.

No comments: