MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 13 October 2012

KAMANDA WA POLISI MWANZA LIBERATUS BARLOW AMEUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA WATU WASIOFAHAMIKA

                                PICHANI NI KAMANDA BARLOW ENZI ZA UHAI WAKE 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Barlow ameuawa usiku wa kuamkia leo katika tukio linalohusishwa na ujambazi.

Taarifa kutoka Mwanza ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini zinasema kuwa Kamanda Barlow aliuawa baada ya kumrudisha dada yake kutoka katika kikao cha harusi ya ndugu yao huko Kitangili.
BOFYA KATIKATI YA VIDEO KUMSIKILIZA MSEMAJI WA POLISI ADVELA SENSO KUHUSU KIFO HICHO.

No comments: