Jeshi la polisi latawanya waandamanaji kuhusu vurugu zilizotokana na kijana mdogo kusadikiwa kukojolea kitabu kitakatifu cha QURAN katika eneo la Mbagala.
Kamanda wa jeshi la polisi jijini Dar es salaam SULEIMAN KOVA amesema kuwa polisi inaendelea kudhibiti vurugu hizo, ambazo zimesababisha kuvunjwa vioo vya gari la polisi, ambapo inasemekana maandamanao pia yamevamia makanisa ya Mbagala.
No comments:
Post a Comment