MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 19 October 2012

MBUNGE MMOJA KENYA MBARONI

-->
Kiongozi mmoja mkuu wa kiisilamu nchini Kenya, ambaye pia ni mbunge mteule ameshtakiwa kwa kuchochea ghasia.
Mbunge Sheikh Mohammad Dor alisema kuwa anajitolea kufadhili vuguvugu la MRC linalotaka kujitenga kwa eneo la Pwani.
Hatua ya kushtakiwa kwa Sheikh Mohammed Dor inakuja siku tatu baada ya kukamatwa kwa kiongozi wa kundi hilo Omar Mwamnuadzi.
Sheikh Dor alikamatwa jana jioni baada ya kutangaza hadharani kuwa anaweza kufadhili vuguvugu hilo, ingawa aliachiliwa asubuhi ya leo kwa dhamana ya dola 23,000 baada ya kukana mashtaka ya uchochezi.

No comments: