MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 1 November 2012

KATIBU WA MCT AKUTANA NA WANAHABARI NA WADAU WA HABARI KAGERA

Waandishi wa habari mkoani Kagera wametakiwa kwenda samabamba na mabadiliko ya maisha  ili kuleta maendeleo katika jamii inayowazunguka.

Hayo yamesemwa na katibu wa baraza la habari Tanzania bwana Kajubi Mkajanga, katika mkutano wa siku moja uliowahusisha waandishi na wadau mbalimbali wa habari mkoani Kagera……….CAST………..

Amesema kuwa ni lazima muandishi awe miongoni mwa jamii inayohitaji maendeleo kwa kushika kalamu na vifaa vyake vya sauti ili kufikisha ujumbe kwa jamii husika, ili kubadili hali ngumu ya maisha lakini pia kuleta sura ya uelewa kwa maslahi ya jamii husika na kuendana na mataifa mengine.

Bwana Mukajanga ameongeza kuwa kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia, ni lazima waandishi nao wabadilike tofauti na waandishi wa zamani ambao walikaa kwenye nafasi zao za kazi pasipokujihusisha na kujichanganya na jamii wanayoihabarisha.

Mkutano wa Braza la habari Tanzania umefanyika katika manispaa ya Bukoba, baada ya kuandaliwa na chama cha waandishi wa habari mkoani Kagera KPC, ili kuzungumzia vikwazo na changamoto za uandishi habari mkoani humo kwa


MWANA HARAKATI

No comments: