MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 9 January 2013

MWANAMKE AUAWA KWA KUGONGWA NA GARI KWENYE KIWANDA CHA SUKARI

Mwanamke huyo JANE EMMANUEL, aliyekuwa na umri wa miaka 26, amefariki dunia jana baada ya gari la kubebea miwa kiwandani hapo kurudi nyuma ghafla na kumkanyaga, ambapo amepasuka kichwa na tumbo ambalo hatahivyo alikuwa na ujauzito wa mtoto wa kike baada ya tumbo kupasuka na mtoto kutoka nje.
 Mwanamke huyo amezikwa jana hiyo hiyo kijijini kwao Maruku Bukoba, kwasababu ya mwili wake kuharibika vibaya na kichanga kimezikwa katika kaburi la peke yake.
 Mwanadada huyo ambaye awali alikuwa akiishi mjini Bukoba, alikuwa anafanya kazi katika kiwanda cha sukari mkoani Kagera katika wilaya ya Misenyi ambapo kwa taarifa zilizopo, alikuwa akifanya mahesabu ya mzigo unaopakiwa kwenye magari hayo, ambapo hadi kifo kinamkuta alikuwa akichkuwa rekodi ya kiasi kilichopakiwa.
 Picha chini ni kichanga alichokuwa nacho tumboni JANE EMMANUEL, A.K.A FIRST kwa jina tulilokuwa tukimuita.
Mungu ailaze mahala panapostahili JAH RASTER FARIE.

No comments: