MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 9 January 2013

REAKING NEWS!!!!!!!!!!! AJALI YA BASI LA BUNDA KANDA YA ZIWA

Taarifa za awali zinasema kuwa watu ambao hawajafahamika idadi yao wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa, katika ajali ya Basi ya kampuni ya BUNDA, ambalo inasemekana limepinduka wilayani MAGU mkoani Mwanza,

Kamanada wa polisi mkoani humo ERNEST MANGU, ambaye hata hivyo wakati anaongea na kandayaziwaleo, alikuwa bado anafuatailia taarifa, amesema kuwa basi hilo ambalo hakulitaja namba limepata jali wilayani Magu lilipokuwa likitokea Musoma kuelekea Mutukula mkoani Kagera.

Taarifa zaidi tutaendelea kukuletea.

No comments: