MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 5 May 2013

AJALI NYINGINE BUKOBA



Mmoja anayedaiwa kuwa ni mwanaume amefariki na mwili wake umenasa katika gari baada ya kulaliwa na gari hilo, hadi picha hizi zinapigwa, njia za kunasua mwili huo chini ya gari zilikuwa hazijafanikiwa.



Kama inavyoonekana wananchi waliofika eneo hilo wapo wanauchungulia mwili huo ulionasa, na gari halikutambulika haraka na mmiliki wake kwani waliotakiwa kusema ndiyo waliojeruhiwa.

Siku moja kabla ya ajali hii, imetokea ajali nyingine manispaa ya Bukoba katika eneo la Rwamishenye na kusababisha kifo cha mtu mmoja na mwingine kukatika mguu, ikihusisha gari aina ya CATER mali ya familia ya Mbagwa.
 

MWANA HARAKATI

No comments: