MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 30 September 2013

UKAGUZI WA CAG UMEANZA MANISPAA YA BUKOBA.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuuwa Fedha ya Serikali Bw. Ludovick Utouh Akiongea na Wajumbe wa Kikao
Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Bukoba  akiwamo Mstahiki Meya Anathory Amani
 Chini ni waheshimiwa madiwani, wakiandika dondoo za maelezo ya CAG, ambapo amewasihi kutoingilia uchunguzi wake ila akwataka kutoa ushirikiano wao pale watakapoitajika.
MWANA HARAKATI

No comments: