MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 31 January 2014

ABAMBWA AKIWA UCHI

Mwanamke mmoja ambaye jina lake halijstambulika, amenudurika kuawa baada ya kukamwatwa na wananchi akiwa uchi huku akizubguka katika makaazi ya watu kata Hamgembe manispaa ya Bukoba.

Kamanda wa polisi mkoani Kageta SACP GEORGE MAYUNGA, amesema kuwa hajapokea taarifa rasmi kuhusu tukio hilo lakini akakiri kuwapo kwake na akasema polisi inamshikilia kwa uchunguzi zaidi, tutakuletea undani wa habari hiyo.

MWANA HARAKATI

No comments: