MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 30 January 2014

CCM YAZINDUA MAAZIMISHO MIAKA 37 BUKOBA




 Vijana wasanii wa kizazi kipya wametumbuiza na kusisitiza umoja kama nyenzo za maendeleo huku wakimshauri mbunge huyo kuwa tenda wema nenda zako wanadamu hawana shukrani.


CCM imezindua maazimishohayo ikiwa ni siku moja baraza la madiwani manispaa hiyo likiwa limewekewa pibgamizi kwa baadhi ya madiwani kutoudhuria, hivyo bajeti ya mwaka 2014/15kutojadiliwa

No comments: