MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 28 February 2014

BREACKING NEWS!!! WANNE WAFA PAPO HAPO AJALI YA BASI NA TREN

Taarifa za awali zinasema ni bas la Bunda ambalo limegongwa kwenye kivuko cha treni mkoani Singida.

                                                        Wananchi wakishuudia baada ya ajali
                                         Juu ni Tren iliyosababisha ajali na chini hali ya basi lenyewe.
Mpaka sasa ni watu 4 wamethibitika kufa na tunaendelea kufuatilia habari zaidi juu ya tukio hilo ikiwemo sababu ya msingi ya kusababisha ajali hiyo.

Tutaendelea kuwajuza zaidi chochote kitakachojiri kwa undani.

MWANA HARAKATI

No comments: