MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 24 February 2014

BREACKING NEWS!!!MAHAKAMA YA RUFAA YAZINDULIWA KAGERA

 Picha juu Jaji mkuu amesimama wakati wa wimbo wa taifa na majaji kadhaa wa mahakama ya rufaa, chini anakagua gwaride nje ya jengo la mahakama mkoani Kagera.
 Picha juu mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali mstaafu FABIEN MASSAWE, amewataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kutokana na uwepo wa mahakama za kutosha na mahakimu.

Majaji wa mahakama ya rufaaa wapo mkoani Kagera kuanzia sasa hadi tarehe 17, wakisikiliza kesi za mahakama hiyo, ambapo wanaKagera wamepunguziwa adha ya kufuata mahakama hiyo Mwanza.
MWANA HARAKATI

No comments: