MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 2 February 2014

BREAKING NEWS!!! AJALI MBAYA BUKOBA

 Picha juu ni gari iliyopata hitilafu na kupoteza mwelekeo ikiwa na mzigo unaoonekana hapo nyuma, ambapo kichwa cha gari hilo ndicho kimesambaratika kama picha inavyoonesha na chini mzigo unaonekana ukiwa umefunikwa, mbele ikiwa ni sehemu iliyoharibika vibaya.



 Gari linaloonekana juu lilipisha gari iliyopata ajali mara baada ya dereva wa gari ili la chini kumwona mwenye scania ilianguka akija kwa kasi nyuma yake, ambapo pamoja na kumpisha, bado gari hilo limekwanguliwa kutokana na juhudi za kupishana wakati yote yakielekea sehemu moja.

 Picha juu ni Trafic akiangalia hali ya gari iliyokwanguliwa na chini ni taswira ya barabara ilivyokuwa baada gari hiyo kukwanguliwa na baadhi ya molamu nyeusi zilizokuwa kwenye gari hiyo kumwagika.
Taarifa rasmi kuhusu hali za waliokuwa ndani ya gari hiyo tutakuletea kwani kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mkoa  WILIAM MKONDA amesema bado wanashughulikia ajali hiyo.
MWANA HARAKATI

No comments: