Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Thursday, 13 February 2014
BREAKING NEWS!!! SIKU YA REDIO DUNIANI
Leo ni siku ya redio duniani mbapo wataalamu watangazaji wa redio wanakutana Dodoma kuadhimisha siku hiyo,
ambapo pamoja na mambo mengine wakongwe watatu katika tasnia hii wataongoza mada kuhusu redio duniani.
Mgeni rsmi katika maadhimisho haya ni mkuu wa mkoa wa Dodoma i Reema Nchimbi atakayekaribishwa na katibu MCT Kajubi Mkajanga na yupo mwakilishi kutoka umoja wa mataia.
Endelea kufuatilia nitakuletea undani kutoka hapa Dodoma kwenye ukumbi wa Dodoma hotel.
WSANA HARAKATI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment