Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Friday, 14 February 2014
MAHOJIANO YA CCM YALIYOFANYIKA LEO, WASIRA AKANUSHA
Leo ikiwa ni siku ya vigogo wawili waziri wa nchi ofisi ya rais STEPHEN WASIRA na naibu waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia JANUARI MAKAMBA, ni muda mfupi mahojiano hayo yamemalizika huku Wasira akikanusha kuhojiwa kwake.
Katika ratiba ya leo waliotakiwa kuhojiwa ni BERNAD MEMBE, WASIRA na JANUARY MAKAMBA ambapo leo wamehojiwa hao wawili kutokana na Membe kuwa ziarani nje ya nchi.
Akiongea na waandishi wa habari muda mfupi baada mahojiano katika ofisi za CCM hapa Dodoma, mh Wasira amesema kama alivyosema Lowasa na wenzake kuwa walikuwa wakizungumziamikakati ya chama.
MWANA HARAKATI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment