MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 20 February 2014

MATUMIZI YA SIMU KWA HABARI YAWA MSAADA

Imeelezwa kuwa Demokrasia vijijini itapatikana iwapo vyombo vya habari jamii vitatumika kikamilifu na kutekeleza wajibu wake wa kupasha habari kwa kutumia teknolojia mpya na hasa simu.
Akifungua mafunzo ya wiki moja katika Ukumbi wa Mazingira, Kibaoni Ifakara mkoani Morogoro, yanayowashirikisha wanahabari jamii kutoka Pemba, Unguja, Pangani, Ifakara na Kyela, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Hassan Masala hayupo pichani, amesema mbinu za kisasa zinahitajika kuelimisha jamii na kupambanua mambo gani yafanyike ili kupata uongozi bora vijijini na taifa kwa ujumla.
 Baadhi ya waandishi na washiriki wa mafunzo hayo, wakifanya mazoezi ya pamoja jinsi ya matumizi ya simu katika kupashana habari.

Kulia ni Mkufunzi kutoka UNESCO Mama Rose Haji Mwalimu.

MWANA HARAKATI

No comments: