MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 20 February 2014

WASOMI WAISHIO CHINA WATAKIWA KULETA MABADILIKO TANZANIA


Makamu wa CCM bara Mh..Phillip Mangula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watanzania wanaosoma na kufanya kazi nchini China katika mji wa Beijing baada ya kukutana nao kwa kikao kifupi katika kujadili mstakabali wa wasomi katika ujenzi wa taifa lao.

Hii ilifanyika baada ya ziara fupi nchini aliyofanya Mh,Mangula mwanzoni wa wiki hii.

Picha na Mzige.

MWANA HARAKATI

No comments: