Juu mama muuzaji sokoni akilalamikia wakaguzi wa usafi, na chini mzee akisisitiza kuwa mbunge asikate tamaa wako pamoja naye.
Picha juu Balozi akisikitika kusikia malalamiko ya wananchi wanaofungiwa huduma za kuchota maji hadi washirikiane na wengine wenye mtazamo wa kundi fulani, na chini akipitia ripoti inayodaiwa kutumwa ikulu na mwananchi mmoja ambaye anasema mbunge aifanyie kazi.
MWANA HARAKATI
No comments:
Post a Comment