Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga, Freddy Liundi (wa
pili kutoka kushoto) akitoa maelezo juu ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa
Bandari ya Mwambani kwa kiongozi wa timu ya wakaguzi wa miradi ya
maendeleo kutoka Tume ya Mipango ambaye ni Naibu Katibu Mtendaji
anayesimamia Kongane ya Sekta za Uzalishaji, Bw. Maduka Kessy.
Picha ikionesha eneo la mwambani ambako ndipo
miundombinu ya bandari itajengwa.
|
No comments:
Post a Comment