MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 16 March 2014

BREACKIN NEWS!!! WATANZANIA WANNE WAMEKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA



Watanzania wane akiwamo mwanamume mmoja na wanawake watatu, wamekamatwa na dawa za kulevya aina ya HEROIN kilo 2.2 kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kenya JOMO KENYATA(JKIA).

Tarifa zinasema kuwa watanzania hao waliingilia mpakani Namanga wakielekea HONG KONG nchini China.

Msemaji wa polisi katika uwanja huo, amesema kuwa, “tumewakamata watanzania wane na tumewaweka chini ya uangalizi mkali, wameshatoa kete (vidonge) 186 ambazo tumezifanyia uchunguzi na na kudhibitisha kuwa ni heroin” Ngisa pia aliliambia shirika la habari la China XHINUA kwa njia ya simu.

Amesema kuwa upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani mara moja.
Na Mwanaharakati.

No comments: