Hii ni baada ya kupitisha kanuni za kuliendesha bunge la kuchangia rasimu ya katiba mpya,.![]() |
| Mgombea Uenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta akipokea Fomu kutoka kwa Ofisa wa Bunge Bi. Lidya Mwaipyana Katikati ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mbunge wa Nzega Hamisi Kigwangala. |
![]() |
| Samwel Sitta akionesha fomu ya uenyekiti aliyochukua |
Mwenyekiti wa kamati ya kanuni Mh COSTER MAALU amesema kuwa ni lazima ziridhiwe na wajumbe wote ambapo ni lazima usahihi katika njia inayotafutiwa ufumbuzi.
Na Mwanaharakati.



No comments:
Post a Comment