MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 28 March 2014

BREAKING NEWS!!! MAAFA MAKUBWA WILAYANI MULEBA

Moja ya nyumba zilizooezuka.

Baadhi ya mabati yaliyopeperushwa na upepo

Ni nyumba mojawapo iliyoezuka paa na baadhi ya kuta kudondoka.

Zaidi ya mashamba 100 ya migomba katika kijiji cha bulembo kata ibuga wilayani muleba yamealibiwa na mvua iliyonyesha leo ikiambatana na upepo mkali.
Alikadhalika kufuatia mvua hiyo nyumba 15 zimeezuliwa na upepo katika kisiwa cha Musira kilichoko manispaa ya bukoba.
Akizungumza na kasibante fm redio mwenyekiti wa kisiwa hicho bwana CHALES POLEPOLE ameeleza kuwa sambasamba na kuezuliwa kwa nyumba hizo pia mtu mmoja amejeruhiwa vibaya baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba,huku miti na migomba pia ikivunjwa na upepo huo.

Na Mwanaharakati.

No comments: