MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 14 March 2014

GHARAMA YA HUDUMA ZA MAJI BUKOBA YASHUSHWA

 

Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) inawatangazia wateja wake kuwa imeweka punguzo la maalumu la huduma za maji kuanzia 15/03/2014 hadi  15/04/2014.
Wateja waliokatiwa maji watalipa madeni yao bila faini na wateja wapya ada ya kuunganishiwa maji imepungua kwa aslimia 50.
Wiki ya maji mwaka huu itaongozwa na maudhui ya “UHAKIKA WA MAJI NA NISHATI (WATER AND ENERGY)”.
Ndugu mteja wahi sasa kabla ya ofa maalumu kuisha.
 Na Mwanaharakati.

No comments: