![]() |
| Ni nyumba ya David Joseph ambaye ameangukiwa na nyumba hiyo na kujeruhiwa ambapo amepelekwa hospitali ya mkoa kwa matibabu baada ya mkono kujeruhiwa na kutoa damu puani. |
![]() |
| Ni nyumba ya mzee Paul Phinkili imeezuka na magodoro mengine yameanikwa wakati nikifika katika eneo hilo. |
![]() |
| Ni baadhi ya migomba iliyoangushwa na upepo |
![]() |
| Hapa yupo mama mjane Bi Suzan Mutalemwa nyumba na migomba picha hii ni jiko lote limesambaratika. |
![]() |
| Picha hii inaonesha waya wa umeme umekatika na lakini watu hawakujeruhiwa na juhudi za Tanesco zinaendele. |
![]() |
| Hata miti nayo imekumbwa katika mvua hizo ikiwamo mipera ovakado na mihumura |
![]() | ||||
| Huu ni mti wa mbao ulivyong"oka na upepo |








No comments:
Post a Comment