![]() |
Pazia
likishushwa kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa kampuni hiyo ya simu za
mikononi-Smart."lets talk. |
Viongozi
wakuu wa kampuni ya Smart Telecom,Afrika Masharikii wakiwa katika picha ya pamoja na
baadhi ya washindi waliojipatia zawadi kupitia mtandao huo,baada ya
kushiriki kwenye kampeni ya GIVE US A NAME iliofanyika hivi karibuni.
Jina la kampuni ni matokeo ya kura
zilizopigwa Afrika Mashariki katika kampeni ya Uvumbuzi. Kuzinduliwa kwa
kampuni hiyo kutaisaidia AKFED kukuza huduma zake za kibiashara kwa jamii
katika nchi za Burundi, Tanzania na Uganda, lengo kuu likiwa kuwekeza na
kuwahudumia wateja
Mtandao wa IPS una uwanda/uelewa
mpana katika sekta ya mawasiliano. Ni washirika wakubwa wa Roshan shirika
linaloongoza katika utoaji wa huduma za mawasiliano nchini Afghanistan na pia washirika
muhimu katika shirika la Tcell linaloongoza katika kutoa huduma
Tajikistan.
IPS pia ni wawekezaji wakubwa na wa
pekee waliowekeza SEACOM submarine cable venture in East Africa. Wakati umefika
ambao ushirika wa IPS ndani ya SMART utaleta ushirikiano na kuweka record ya
ushirikiano wa makampuni ya simu Nepal na Cambodia na kuwafanya wawe
waongozaji katika soko hili.
Kuzinduliwa kwa SMART kutashirikisha
uzoefu wa AKDEF katika kuwekeza kwa lengo la kuhamasisha ujasiliamali na ujenzi
wa uchumi wa sauti ambao utatoa fursa nyingi za ajira na kuboresha maisha ya
watu. Afrika Mashariki. AKFED imewekeza Serena Hotels, Diamond Trust Bank,
Jubilee Insurance Group, National Media Group na katika maeneo mbalimbali ya
uzalishaji na miundombinu kama vituo vya nguvu ya umeme vya Bujagali na Tsavo.
Na Mwanaharakati.


No comments:
Post a Comment