MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 30 March 2014

TUZO YA MWANAMKE BORA WA 2013/14, DK KAMM AIBUKA SHUJAA WAZIRI MKUU PINDA AKABIDHI ZAWADI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano Dk. Maria Kamm aliyetwaa Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013/2014 ndani ya Ukumbi wa African Dreams uliopo Area D, Dodoma jana usiku.
Waziri Mkuu akimkabidhi tuzo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Profesa Anna Tibaijuka aliyeibuka mshindi wa tatu katika tuzo hizo.
Washiriki wa tuzo ya mwanamake bora wakiwa katika picha ya pamoja na waziri mkuu Pinda.
Na Mwanaharakati.

No comments: