![]() |
| Maandamano yalianzia katika eneo la Malahala hadi uwanjani Fatuma. |
![]() |
| Ni kikundi cha wanawake cha ukakamavu kikielekea uwanjani kuonesha gwaride lake, huku msimamizi wa kikundi hicho na afisa habari wa mkoa SYLIVESTER RAPAHEL akifuatilia kwa karibu. |
![]() |
| Msafara wa maandamano uliongoza na Prof Tibaijuka mwenye nguo ya Pink na kitambaa katikati mbele. |
![]() |
| Mama Rugabarabamu akionekana katika picha na miwani yake |
![]() |
| Vitabu vinavyouzwa na moja ya kikundi |
![]() |
| Akina mama wakiuza mazao ya kilimo katika maadhimisho hayo. |
![]() |
| Ni banda la akina mama wajasriamali. |
TAARIFA ZA VIFO VYA WA KONGWE TUNAZIFANYAIA KAZI ILI TUJUE NA IDADI YA WALIOKWISHAUAWA NA NI ENEO GANI HASA.
Na Mwanaharakati.







No comments:
Post a Comment