Ni baada ya treni kuligonga basi lililokuwa limewabeba wafanyakazi wakielekea kazini kwao, ambapo watano wamejeruhiwa vibaya katika ajali hiyo nchini UTURUKI.
Basi lomehongwa wakati likivuka reli kuwapeleka wafanyakazi katika eneo la viwanda mjini Mersin.
Taarifa zinaonesha kiwa watatu kati ya majeruhi watano hali zao ni mbaya na waliokufa wote walikuwa ndani ya nasi lenye namba 1104
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment