
![]() |
| Baba askofu Kilaini akitoa heshima zake za mwisho kwa marehemu baba yake. |
![]() |
| Askofu mstaafu Nestorius Timanywa katikati akiongoza ibaada ya kumwombea marehemu. |
![]() |
| Askofu Kilaini akisoma somo la kusindikiza mwili kaburini. |

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Ziporh Pangani akitoa heshima za mwisho.![]() |
| Askofu mstaafu Nestorius Timanywa akiweka shada ya maua kwenye kaburi. |
![]() |
| Waziri wa ardhi nyumba na makazi Prof Anna Tibaijuka akiweka mshumaa kaburini. |
![]() |
| Baba Askofu Kilaini akiweka shada la maua. |
![]() |
| Dada wa marehemu akiweka shada la maua. |
Amefariki tarehe 04 april, tarehe na mwezi kama aliyofariki mkewe miaka minne iliyopita. BWANA ALITOA NA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE. AMIN.
Na Mwanaharakati.







No comments:
Post a Comment