MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 8 April 2014

WANYARWANDA WALILIA NDUGU ZAO MIAKA20 WAKIONGOZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS

Mgeni Rasmi Mh. Profesa Mark J.  Mwandosya Waziri  Ofisi ya Rais  akitoa hotuba yake kwa wananchi waliofika katika Maadhimisho hayo ya Miaka 20 ya Mauaji ya Rwanda.
Mh. Benjamin Rugangazi akitoa Neno kutoka Ubalozi wa Rwanda Nchini Tanzania

 Mwakilishi kwa niaba ya  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon , Mh. Dk Jamal Gulaid akisoma Ujumbe wa  Katibu mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa.
Baadhi ya wageni waliofika katika kumbukumbu hizo wakiwa wanaimba nyimbo mbili za Taifa kutoka Rwanda na Tanzania.
Maandamano ya Kumbukumbu ya miaka 20 ya Mauaji ya Kimbari yaliyotokea mwaka 1994 yakiendelea kuelekea Ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya Maadhimisho hayo.
Na Mwanaharakati.

No comments: