Nicolaus Mac (None Association Movement)
KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)
Saturday, 12 April 2014
BREAKING NEWS!!! MELI INASADIKIWA KUZAMA ZIWA VICTORIA
Ni ya kampuni ya mfanyabiasha wa jijini Mwanza ajulikanaye
kama KITANA.
Mfanyabiashara huyo amezungumza na waandishi wa habari kwa
njia ya simu na kusema kuwa meli hiyo imezama ziwa Victoria upande wa Kagera,
na juhudi za kumtafuta kamanda wa polisi Kagera kuthibitisha hilo zinaendelea.
No comments:
Post a Comment