MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 12 April 2014

NEWS ALERT; NDEGE ILIVYOPATA AJALI UWANJA WA NDEGE JIJINI DAR ES SALAAM.

Sehemu ya bawa ikionesha propera ya Injine iliyogonga chini.


Ngege hiyo imepata ajali Dar es salaam, na kujigonga chini ambapo injini (engine) ya upande mmoja imeharibika na kuwalazimu abiria na wahudumu kutokea katika mlango wa dharura.

Hamisi Suleimani ni kamanda wa viwanja vya ndege amethibitisha kutokea ajali hiyo.

Tutakuletea undani wake.

Na Mwanaharakati.

No comments: